YANGA: Uongozi Wa Young Africans watangaza kuacha kutumia uwanja wa Azam Complex kama Uwanja Wao Wa Nyumbani

Swahili Verified
0


Michezo

Uongozi wa timu ya Young Africans umetangaza kuacha kutumia uwanja wa Azam Complex uliyokuwa ukitumika kama uwanja wao wa nyumbani na kuhamia uwanja wa KMC Complex uliyoko maeneo ya Mwenge Jijini Dar es Salaam Tanzania.


Tags

Post a Comment

0 Comments
Post a Comment (0)
Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Ok, Go it!